Mnamo leo tarehe 27 July 2022, Ofisi ya Makao Makuu ya taasisi Bilal Muslim Mission of Tanzania (BMMT) imepokea ugeni Adhim, wa ziara ya kwanza ya Mwenyekiti wa Afrika Federation, Alhaj Amine Nassor Tangu alipochaguliwa kushika wadhifa huo hivi karibuni mara baada ya aliyetangulia, kumaliza muda wake.
- info@bilal.or.tz
- +255 745 111 150
- Libya Street - Kisutu, Dar es Salaam