Muhtasari
Imam Muhammad Baqir ni imam wa tano katika mtiririko wa maimam 12, Imam Baqir (a.s) anatokana na kizazi cha hashim kutoka pande zote, kwani wazazi wake wanatokana na wajukuu wawili wa Mtume (s.a.w.w) nao ni Hassan na Hussein (a.s).
Miongoni mwa sifa kubwa za Imam ni ukarimu, lakini pia alikuwa na mtaji mkubwa wa elimu.
Kupakua Bofya hapa
Vitabu vinavyohusiana